ad

20.1.10

MISS UTALII DSM 2010

Washiriki wa fainali za kumpata Miss Utalii Tanzania 2009/2010 mkoa wa Dar Es Salaam,kutoka wilaya za Ilala,Temeke na Kinondoni wakiwa wameanza kambi ya mazoezi katika ukumbi wa Rain Bow Social Club Mbezi /Kawe Beach jijiniShindano la Miss Utalii Tanzania 2009/2010 fainali za mkoa wa Dar Es Salaam zitafanyika siku ya mkesha wa siku ya wapendanao,Jumamosi tarehe 13-2-2010 usiku katika ukumbi wa Rain Bow Social club uliopo Mbezi /Kawe beach Jijini.Washiriki wa shindano hilo ni pamoja na kutoka wilaya ya Temeke Erica Allan (Miss Utalii Temeke 2009/2010), Mariam Khamis (Mshindi wa pili), Zainabu Matagi (Mshindi wa Tatu)Shalbano Khameed (Miss Utalii Vipaji 2009/2010) Neema Simbo (Mshindi wa nne) na Saida Sima (Mshindi wa tano), Glory Mlay (Kumi Bora); kutoka wilaya ya Kinondoni ni Sophia Dio (Miss Utalii Kinondoni 2009/2010), Latifa Bakari mshindi wa pili na Miss Utalii Vipaji 2009/2010), Lulu Belo (Mshindi wa Tatu), Faraja Hassan (Mshindi wanne), Neema Mashala (Mshindi wa tano, Barke Mohamed (kumi bora), Sarah Shaaban (Kumi bora)na Martha Daniel (kumi Bora); kutoka wilaya ya Ilala ni Shaymaa Ntetema (Miss Utalii Ilala 2009/2010), Agatha Kilala (Mshindi wa Pili), Sheilla Bahamal (Mshindi wa Tatu), Jamida Ally (Mshindi wa Tano na Miss Utalii Vipaji 2009/2010), Tausi Thomas (Mshindi wanne), Janeth Samson (kumi Bora), Nazia Athony (Kumi Bora), Flora Nicholaus (Kumi Bora),Tike Laiton (Kumi Bora).

THE FAMOUS LEGS OF MO'NIQUE

It seems as though Mo’Nique’s furry legs received more buzz on Sunday at the Golden Globes than her actual win. Goodness!! She doesn’t shave for good reason people. Here’s what she had to say during a past appearance on the view:
“I must show America what a real leg looks like. It’s too much in the morning. To shave. To Cut. You got band aids baby! That is a leg right there. Now I shave under my arms because that’s a different kind of hair.

pages listed by date