ad

1.4.11

Downlod Windows 7 All in One


Windows 7 all in one adalah gabungan dari beberapa windows 7. Dengan windows 7 all in one, anda dapat dengan mudah memiliki Windows 7 Starter, Windows 7 Basic, Windows 7 Home Premium, Windows 7 Professional, dan Windows 7 Ultimate dalam 1 keping DVD. Jika Anda sudah bosan memakai Windows 7 Starter dan ingin mengganti dengan Windows 7 Ultimate atau lainnya cukup dengan instal dan memilihnya dalam DVD tersebut karena sudah windows 7 All In One.
Bagi yang ingin mendownload, bisa mendownload di link di bawah ini yang dibagi menjadi 5 part.


Dianjurkan agar mendownload dengan interner download manager agar lebih cepat.

31.3.11

Download Artav Antivirus 2.7

Download Artav antivirus buatan anak bangsa update terbaru yaitu artav 2.7.

Perbaikan :
-Penggantian Icon2 pada tampilan
-Perbaikan CheckOption FilterFile dan Heuristic pada Menu Setting
-Perbaikan ListView pada ARTAV-RealTime Protection
-Pemisahan List Virus Dengan Result pada Scanning
-Perombakan Teknik Pada Process Scanning

Penambahan :
-Penambahan Informasi Directory dan Condition
-Penambahan Time Saat Scanning
-Penambahan Time dan Uncleaned Result Pada Form Laporan
-Penambahan Fitur ART-Message Sebagai Pemberitahu hal2 yang dilakukan pada ARTAV
-Penambahan Fitur ART-RegFix Yaitu Fitur Untuk Scanning Registry Yang Error Menggantikan System Scan
-Penambahan Scan Animasi
-Penambahan Variant Virus :
-WORM/Kido.IH
-TR/ATRAPS.Gen
-TR/SymbOS.SrvSender.a
-TR/Click.VBiframe.ddl
-DR/Gifar.Gen dropper
-TR/Stuxnet.m
-TR/Spy.10752.51
-WOMR/VBNA.U
-W32/Virut.AG
-VIRUS.MEL.MOKY
-VIRUS.MSOFFICE.CHANEL
-VIRUS.MSOFFICE.CODEMAS
-VIRUS.MSWORD.17TH-18TH
-VIRUS.WIN32.AFGAN.A
-VIRUS.WIN32.AFGAN.B
-VIRUS.WIN32.AFGAN.C
-VIRUS.WIN32.AFGAN.D
-VIRUS.WIN32.AFGAN.E
-VIRUS.WHS.DEBYR
-VIRUS.WINPIF.LYS
-VIRUS.BEOS.KATE
-VIRUS.1C.TANGA.A
-VIRUS.KIX.IXLAM.A
-VIRUS.FREEBSD.WOWOOD.1200
-BACKDOOR.WIN32.ACIDOOR.11
-BACKDOOR.WIN32.ACIDSENA
-dll
(Total 220 Virus Baru)

Ini dia screenshotnya :





27.3.11

TUZO ZA KILI 2011


Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo,Dr. Emmanuel Nchimbi akabidhi tuzo ya heshima iliyopata Shirika la Habari Tanzania (TBC) kwa Bosi Mkuu wa TBC,Joe Lugalabamu.
Mwanamitindo Khadija Mwanamboka (kushoto) pamoja na Producer Pancho Latino (pili kulia) wakimkabidhi tuzo ya Msanii Mpya anaechipukia Linnah ambaye pia alijinyakulia tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kike.
Wachezaji wa Soka nchini,Juma Kasseja (kushoto) na Shadrack Nsajigwa (kulia) wakimkabidhi tuzo Mzee Yussuf ikiwa ni tuzo ya Wimbo Bora wa Taarab.
Mzee Said Mabela wa Msondo Ngoma Band,akitoa shukrani zake kwa wapenzi wa Muziki wa Dansi pamoja na wale woote wanaoufanikisha Muziki wa Dansi nchini mara baada ya kupewa tuzo ya Heshima kwa ukongwe alionao katika Muziki.
Mzee Small Ngamba na Bi. Chau wakidhi tuzo kwa Producer Man Water ambaye alimuwakilisha Msanii wake 20% ambaye alijinyakulia tuzo nyingi kuliko wote.hapa alikuwa akipewa tuzo ya Wimbo Bora wa Mwaka.Barnaba akiifurahia tuzo yake ya Wimbo Bora wa Zouk/Rhumba.Joe Makini akijinyakulia tuzo ya Msanii Bora wa Hip Hop toka kwa Besta pamoja na Marlow.Msanii Cpwaa akitoa shukrani zake za dhati kwa mashabiki wake walioweza kumpigia kura mpaka kuweza kupata tuzo ya Video Bora ya Muziki ya Mwaka.Mbungu wa Viti Maalum wa CCM,Mh. Vicky Kamata akimkabidhi tuzo ya Wimbo Bora wa R&B msanii Ben Poul.Msanii wa vichekesho toka kundi la Orijinal Comedy,ambaye pia ni Mwanamuziki akitoa shukrani zake kwa mashabiki wake waliomuwezesha kupata tuzo ya Wimbo Bora wa Asili wa Tanzania.Msanii mkongwe wa muziki nchini,Lady Jay Dee akiwa na tuzo zake mbili alizojishindia,moja iliwa ni ya Wimbo Bora wa Afrika Mashariki na nyingine ni Msanii Bora wa Kike.Mkurugenzi Mkuu wa Prime Time,Juhayna Kussaga pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,David Minja wakimkabidhi tuzo Mtunzi Bora wa Nyimbo abaye ni 20 % akiwakilishwa na Producer wake Man Water.20 % ndie alieibuka kinara wa kupata tuzo nyingi ambazo ni za Wimbo Bora wa Afro Pop,Msanii Bora wa Kiume,Wimbo Bora wa Mwaka pamoja na Mwimbaji Bora wa Kiume.
Tuzo ya Rapa Bora wa Bendi ilienda kwa Khalid Chokoraa kama anavyoonekana hapa akiwa na Josee Mara pamoja na Kalala Junior wanaounda kundi la Mapacha watatu ambapo Bendi yao pia iliweza kupata tuzo ya Wimbo Bora wa Kiswahili.
Tuzo ya Wimbo Bora wa Reggae ilienda kwa Hardmad.
Msanii JCB alijinyakulia tuzo ya Wimbo Bora wa Hip Hop na hapa akitoa shukrani kwa mashabiki wake.
Antonio Nugaz,Ruben Ndege pamoja na Dataz.
Hii ilikuwa ni shoo moja matata sana ambayo haikutegemewa na mtu yeyote,Kati yupo Banana Zorro,Kulia Diamond na kushoto ni Ali Kiba ambao waliimba wimbo wa Tunatoana Roho ulioimbwa na Bendi ya Msondo Ngoma.
Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo,Dr. Emmanuel Nchimbi akiwa sambamba na Katibu Mkuu wa BASATA,Ghonche Mategero wakifatilia kwa makini shughuli nzima ya utoaji Tuzo.
Wadau,toka kulia ni Bosco Majaliwa,Baraka Msilwa,Albert Makoye pamoja na Omary Baraka.
Rais wa RBP,Mama Rahma Al Kharous pia alikuwepo kushuhudia tuzo hizo zikitolewa.
Wadau.
Vijana wa THT wakionyesha mambo yao.

pages listed by date