ad

1.7.11

Joke – 3 Minutes To Heaven

A man died and went to “The Judgment”, they told him , “Before you meet God,  I should tell you — we’ve looked over your life, and to be honest you really didn’t do anything particularly good or bad. We’re not really sure what to do with you. Can you tell us anything you did that can help us make a decision?”

The newly arrived soul thought for a moment and replied, “Yeah, once I was driving along and came upon a person who was being harassed by a group of thugs. So I pulled over, got out a bat, and went up to the leader of the thugs. He was a big, muscular guy with a ring pierced through his lip. Well, I tore the  ring out of his lip, and told him he and his gang had better stop bothering this guy or they would have to deal with me!”

“Wow that’s impressive, “When did this happen?”

“About three minutes ago,” came the reply.

Joke – Great Choices

It was mealtime on a small airline and the flight attendant asked a passenger if he would like dinner.

“What are my choices?” he asked

“Yes or No,” she replied

Joke – Why Did God Create Man Before Woman?

Q: Why did God create Man before Woman?


A: He didn’t want any advice.

30.6.11

Joke – Living In A Mobile Home

"We live in a mobile home. Hey, there are some advantages to living in a mobile home. One time, it caught on fire. We met the fire department halfway there."
- Ronnie Shakes

23.6.11

MAMA SALMA KIKWETE ................

Baadhi ya wageni katika hafla ya chai ya jioni na mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor nyumbani kwake Putrajaya, Malaysia.
Mama Salma Kikwete akiongea katika hafla ya chai ya jioni iliyoandaliwa na Mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor maaulum kwa wake wa viongozi nyumbani kwake Putrajaya Malaysia
Mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Mama Datin Paduka Seri Rosmah Mansor (kulia) wakizungumza na Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho Mama Mathato Mosisili (kushoto) katika hafla hiyo
Mama Salma Kikwete pia Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA (kushoto) wakibadilishana mawazo Juni 22,2011 na mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho Mama Mathato Mosisili (nguo ya mistari) pamoja na mwenyeji wao Mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor (kulia) nyumbani kwake Putrajaya Malaysia
Wakikaribishwa katika hafla ya chai ya jioni na mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor (kulia) nyumbani kwake Putrajaya Malaysia.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kushoto) pamoja na mkewa Waziri Mkuu wa Lesotho Mama Mathato Mosisili (nguo ya mistari) wakibadilishana mawazo katika hafla ya chakula cha usiku kilichaandaliwa na Mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kushoto ) akiongea na baadhi ya wake wa viongozi wa kitaifa kutoka nchi za Afrika wakati walipokaribishwa kwenye hafla ya chai ya jioni na mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor (kulia) nyumbani kwake Putrajaya Malaysia. (.Pichani akifuatiwa kutoka kulia) ni Mke wa Makamu wa Rais wa Kenya Mama Pailine Kalonzo (nguo ya Blue) pamoja na mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho Mama Mathato Mosisili (mwenye nguo ya mistari)

Toka kushoto Mke wa Makamu wa Rais wa Kenya Mama Pauline Kalonzo, Mke wa Rais wa Tanzania Mama Salma Kikwete, Mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Mama Datin Paduka Seri Rosmah Mansor pamoja na Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho Mama Mathato Mosisili, (Picha zote na Mwankombo Jumaa-MAELEZO)

pages listed by date