ad

24.7.11

LOVENESS FLAVIAN AVIKWA TAJI


Hatimaye kitendawili cha nani ataibuka Vodacom Miss kanda ya Mashariki 2011 kimetenguliwa na jo
po la majaji limemtangaza Miss Lindi 2011, Loveness Flavian (20) na Msomi wa Chuo Kikuu cha Makere al
iye na Shahada ya Mahusiano ya Kimataifa kuwa ndie mshindi.

Loveness ambaye alionesha mapema kuwa kinara wa washiriki wengine 10 licha ya kuvalia namba 10 sasa ataungana na warembo Asha Salehe na Mariaclara Mathayo kuingia katika kambi ya Miss Tanzania 2011 kutoka Kanda ya Mashariki.
Vodacom Miss Eastern Zone 2011, Loveness Flavian (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili, Asha Saleh (kushoto) na Mariaclara Mathayo aliyeshika nafasi ya tatu.
Loveness alipotajwa kuwa ndie mshinde alilia kwa furaha na hakuamini alicho kisikia.
Miss Eastern Zone Flora Florence aliyemaliza muda wake akimvisha taji Loveness Flavian.
Warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya 5 bora ya Miss Kanda ya Mashariki. Kutoka Kulia ni
Ritha Kavishe, Rahma Swai, Mariaclara Mathayo, Loveness Flavian na Asha Saleh
Hawa ni washiriki wote wa Miss Kanda ya Mashariki

21.7.11

CHAKA KHAN AWASILI BONGO


Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akimkalibisha mgeni wake,Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Marekani,Chaka Khan aliyewasili leo mchana kwenye viunga vya ofisi hizo.Mwanamuziki huyo anatarajia kufanya onesho lake Julai 23 ndani ya ukumbi wa Ubungo Plaza,kwa udhamini mkubwa wa Club E.
Joe' akimuongoza mgeni wake,Chaka Khan kwenye ofisi yake leo mchana mara alipowasili ndani ya ofisi za Clouds Media Group,zilizopo Mikocheni jijini Dar.
Mwanamuziki Chaka Khan akigonga na Mtangazaji wa Choice FM,Thandi leo mchana alipokuwa akifanya nae mahojiano mafupi kuhusiana na onyesho lake litakalofanyika ndani ya Ubungo Plaza,July 23 kwa udhamini mkubwa wa Club E.
Mwanamuziki Chaka khan akiwa amepozi na Mtangazaji wa redio ya Choice FM,Thandi mapema leo mchana maara baada ya kufanya nae mahojiano mafupi.
Mwanamuziki Chaka Khan akiacha Chata lake kama ukumbusho wa pekee kwa Kampuni ya Clouds Media Group,huku baadhi ya Wafanyakazi wa kampuni hiyo wakishuhudia tukio hilo adhimu.
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akimuonesha Mwanamuziki Chaka Khan baadhi ya picha za wanamuziki mbalimbali wa Kimarekani na kwingineko waliowahi kufika nchini Tanzania na pia kufanya kazi na kampuni ya Prime Time Promotions Ltd.
Mwanamuziki Chaka Khan akiwa amepozi kwa picha leo mchana na Mkurugenzi wa kampuni ya Clouds Media Group,Joseph Kusaga akiwa na Mkewe,Mkurugenzi wa kampuni bingwa ya burudani hapa nchini,Prime Time Promotions Ltd Juhayna Ajmi Kusaga pamoja na mtoto wao Natalia Kusaga .

8.7.11

Download Supercopier 2010

Haramain software akan bagikan sebuah software yang sangat ampuh dalam hal copy paste. Super copier 2010 Tidak asing lagi, dari namanya saja sudah pasti kita tahu tapi bagi yang belum tahu, supercopier ini berfungsi untuk mempercepat copy paste pada komputer atau note book/laptop kita. 
Dengan super copier 2010 ini yang semula kita mengcopy file sangat lama menjadi mudah dan sahabat HS pasti akan merasakan perbedaannya. langsung aja tanpa cerita panjang lebar. Bagi yang ingin mendownload software ini bisa di download 


Password Jumbofiles : haramain software

Atau bisa download lewat link dibawah ini.


selamat mencoba..

Download Advanced System Care v4.0.1 full version

Advanced system care adalah software untuk menjaga dan memperbaiki system pada local C atau bisa dibilang menjaga windows kita. jangan sampai komputer atau laptop kita yang seharusnya membantu malah menyusahkan karena loadingnya yang begitu lama. software ini juga sangat ampuh untuk membasmi malaware dan memperbaiki registry yang rusak. bagi yang inggin mendownload silahkan download softwarenya gratis DISINI.
Sudah ada tutorialnya didalam untuk memudahkan penginstalan. selamat mencoba dan terus kunjungi http://software-word.blogspot.com

ALICIA KEYS WITH HER FAMILY


The family was spotted out and about earlier yesterday with their son, unshielded from the waiting cameras of the paparazzi. Alicia Keys didn’t seem to bothered by the paps as she had a huge smile on her face.



pages listed by date