ad

23.6.11

MAMA SALMA KIKWETE ................

Baadhi ya wageni katika hafla ya chai ya jioni na mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor nyumbani kwake Putrajaya, Malaysia.
Mama Salma Kikwete akiongea katika hafla ya chai ya jioni iliyoandaliwa na Mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor maaulum kwa wake wa viongozi nyumbani kwake Putrajaya Malaysia
Mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Mama Datin Paduka Seri Rosmah Mansor (kulia) wakizungumza na Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho Mama Mathato Mosisili (kushoto) katika hafla hiyo
Mama Salma Kikwete pia Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA (kushoto) wakibadilishana mawazo Juni 22,2011 na mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho Mama Mathato Mosisili (nguo ya mistari) pamoja na mwenyeji wao Mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor (kulia) nyumbani kwake Putrajaya Malaysia
Wakikaribishwa katika hafla ya chai ya jioni na mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor (kulia) nyumbani kwake Putrajaya Malaysia.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kushoto) pamoja na mkewa Waziri Mkuu wa Lesotho Mama Mathato Mosisili (nguo ya mistari) wakibadilishana mawazo katika hafla ya chakula cha usiku kilichaandaliwa na Mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kushoto ) akiongea na baadhi ya wake wa viongozi wa kitaifa kutoka nchi za Afrika wakati walipokaribishwa kwenye hafla ya chai ya jioni na mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Datin Paduka Seri Rosmah Mansor (kulia) nyumbani kwake Putrajaya Malaysia. (.Pichani akifuatiwa kutoka kulia) ni Mke wa Makamu wa Rais wa Kenya Mama Pailine Kalonzo (nguo ya Blue) pamoja na mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho Mama Mathato Mosisili (mwenye nguo ya mistari)

Toka kushoto Mke wa Makamu wa Rais wa Kenya Mama Pauline Kalonzo, Mke wa Rais wa Tanzania Mama Salma Kikwete, Mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia Mama Datin Paduka Seri Rosmah Mansor pamoja na Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho Mama Mathato Mosisili, (Picha zote na Mwankombo Jumaa-MAELEZO)

16.6.11

ALICIA KEYS WITH HUBBY @THE ANNUAL KEEP A CHILD ALIVE BALL



Alicia Keys hosted her annual Keep A Child Alive Black Ball in London . And we've got pics of her arriving in a beautiful gown.

It took Alicia and Swizzy 15 minutes to head into the Roundhouse in London tonight as they had to wait in the car while Alicia had a wardrobe malfunction catered to. She emerged holding the back of her belt while trying to sign autographs right before the red carpet.

Nice.

The organization's purpose is to raise cash for children and families who have been impacted by HIV and AIDS in Africa .

9.6.11

Joke - The Decoy!

A Highway Patrolman waited outside a popular local bar, hoping for a catch. At closing time, as everyone come out he spotted his potential quarry.

The man was so obviously inebriated that he could barely walk. He stumbled around the parking lot for a few minutes, looking for his car. After trying his keys on five other cars, he finally found his own vehicle.

He sat in the car a good ten minutes, as the other patrons left. He turned his lights on, then off, wipers on, then off. He started to pull forward into the grass, then stopped. Finally,
when he was the last car, he pulled out onto the road and started to drive away.

The patrolman, waiting for this, turned on his lights and pulled the man over. He administered the breathalyzer test, and to his great surprise, the man blew a 0.00.

The patrolman was dumbfounded. "This equipment must be broken!" exclaimed the patrolman.

"I doubt it," said the man, "Tonight I'm the designated decoy!!!"

6.6.11

Joke - First Aid

It was a stifling hot day and a man fainted in the middle of a busy intersection. Traffic quickly piled up in all directions, and a woman rushed to help him.

As she knelt down to loosen his collar, a man emerged from the crowd, pushed her aside, and said, "It's all right honey, I've had a course in first aid."

The woman stood up and watched as he took the ill man's pulse and prepared to administer artificial respiration.

At this point she tapped him on the shoulder and said, "When you get to the part about calling a doctor, I'm already here."

31.5.11

Joke - Cheap Solution

NASA wanted to find a writing implement that could be used in space.

It took 200 engineers and they spent over $2 billion to finally invent a space pen. This pen could write in zero gravity and the ink would still flow.

NASA proudly announced their success and congratulations flowed in from all over the world.

In a short note to the Americans, the Soviet engineers congratulated them, but said that they too had found a solution at a fraction of the cost.

They remarked, "We use a pencil."

pages listed by date